nokia 3310 zaanza kuuzwa tena

kamupuni ya nokia imeanza kuuza simu zake za.nokia 3310 baada ya kupotea kwa muda mrefu

simu hizi kwa sasa zina kamer a ya megapics 2.2 na kutumia intetnet ya 2G

pia ina uwezo wa kukaa na chaji kwa masaa 22 pia usipo itumia inakaa mpaka mwezi mmoja

simu hizo zimekuja baada ya kupotea kwa muda mrefu ambapo zilifanya vizuri katika mauzo miaka ya 2000


Post a Comment

Previous Post Next Post