timu ya manchester imejipanga kufanya usajili mwingine wa nguvu kwa luwasajili wachezaji wa nne
kocha josee mourinho amesema amesha kabidhi majina ya wachezaji anao wataka kuwasajili katika dilisha linalo kuja
miongoni mwa wachezaji wanao windwa na man united ni pamoja na romeu lukaku ambae alishawai kuichezea chelsea chini ya kocha huyo
pia amemtaja grizman katika usajili wake huku lengo kubwa ni kuimalisha safu ya ushambuliaji
manchester ambao ni mabingwa wa EUROPA wanatarajia kushiliki UEFA baada ya kuwa bingwa japokuwa wameshika nafasi ya sita katika ligi
kocha josee mourinho amesema amesha kabidhi majina ya wachezaji anao wataka kuwasajili katika dilisha linalo kuja
miongoni mwa wachezaji wanao windwa na man united ni pamoja na romeu lukaku ambae alishawai kuichezea chelsea chini ya kocha huyo
pia amemtaja grizman katika usajili wake huku lengo kubwa ni kuimalisha safu ya ushambuliaji
manchester ambao ni mabingwa wa EUROPA wanatarajia kushiliki UEFA baada ya kuwa bingwa japokuwa wameshika nafasi ya sita katika ligi
Tags
Michezo
