maafisa watano wa polisi nchini kenya washambuliwa tena na bomu
maafisa hao walifariki baada ya gari lao kukanyaga bomu karibu na mpaka wa somalia wakati wakiwa katika doria ya kawaida
kwa mujibu wa ripoti bomu ilo la ardhini lilimlenga gavana na kwa.bahati mbaya maafisa wa polisi wakalikanyaga
matokio ya mabomu kenya ni.mara kwa mara ambpo wiki iliyo pita pia polisi wanne walifariki baada ya kukanyaga bomu maeneo hayo
maafisa hao walifariki baada ya gari lao kukanyaga bomu karibu na mpaka wa somalia wakati wakiwa katika doria ya kawaida
kwa mujibu wa ripoti bomu ilo la ardhini lilimlenga gavana na kwa.bahati mbaya maafisa wa polisi wakalikanyaga
matokio ya mabomu kenya ni.mara kwa mara ambpo wiki iliyo pita pia polisi wanne walifariki baada ya kukanyaga bomu maeneo hayo
Tags
Kimataifa
