taarifa zilizo.tufikia zinasema mchezaji wa zamani wa AZAM pichani amejiunga na timu ya simba
boko amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea timu hiyo baada ya kuachwa na azam
mwenyewe.boko bado hajasibitisha taarifa hizo ila uongozi wa azam umesema umefanya mazungumzo na simba kuhusu boko
boko amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea timu hiyo baada ya kuachwa na azam
mwenyewe.boko bado hajasibitisha taarifa hizo ila uongozi wa azam umesema umefanya mazungumzo na simba kuhusu boko
Tags
Michezo
