jambazi mrembo auawa kenya

mrembo pichani ambae alikuwa ni jambazi sugu aliuawa na polisi mjini nairobi hivi majuzi

jambazi huyo ambae amekuwa akiweka picha katika facebook akiwa mrembo na wakuvutia hakujulikana kama ni jambazi

mrembo huyo aliawa yeye.na mwenzake wakati wakijaribu kufanya uharifu.nchini kenya


Post a Comment

Previous Post Next Post