boko haramu wataka kushambulia abuja

wanamgambo wa boko haramu nchini nijeria wamepanga kuushambulia mji wa abuja siku zijazo


kupitia mkanda wa video mtu.mmoja ameonekana akisema kuwa wanampango wa kuishambulia abuja na viunga vyake

kwa mujibi wa idara ya ulinzi wa taifa wamesema wanaendelea na uchunguzi kumgundua mtu huyo ni nani


Post a Comment

Previous Post Next Post