betri ya simu inayo jaa chaji kwa dakika tano

kampuni moja nchini israel imeaidi kuja na betri ya simu inayojaa chaji ndani ya dakika tano tuu

kampuni hiyo imesema punde itaingiza sokoni  betri hizo ambazo zitakuwa msaada mkubwa katika matumizi ya simu

lakini baadhi ya wataaramu wametilia mashaka ufanisi wa betri hizo kma zinaweza kuwa na ubora unai takiwa pia wametilia shaka muda wa kuichaji hiyo betri


Post a Comment

Previous Post Next Post