baada ya kusambaa picha ya ben paul.akiwa mtupu reo ben paul akanusha
ben paul amesema ile picha hakuwa mtupu bali alipiga pich akiwa na nguo ila waliediti
ben paul alisema kwenye interview na EATV katika fridaynight huku akisema hajutii picha zile kwakuwa hakuwa mtupu na hakuwa na lengo baya
ben paul amesema ile picha hakuwa mtupu bali alipiga pich akiwa na nguo ila waliediti
ben paul alisema kwenye interview na EATV katika fridaynight huku akisema hajutii picha zile kwakuwa hakuwa mtupu na hakuwa na lengo baya
Tags
Entertaiment
