Hadi sasa Tume ya uchaguzi Ya Zanzibar Imeshatangaza matokeo ya kura za Uraisi katika majimbo manne kati ya 54
Majimbo hayo ni Kwahani, Fuoni, Kiembesamaki, na malindi Dk. Shein wa ccm anaongoza katika majimbo matatu ya kwahani , fuoni na kiembesamaki, Huku maalim seif wa CUF akiongoza katika jimbo la Malindi
Majimbo hayo ni Kwahani, Fuoni, Kiembesamaki, na malindi Dk. Shein wa ccm anaongoza katika majimbo matatu ya kwahani , fuoni na kiembesamaki, Huku maalim seif wa CUF akiongoza katika jimbo la Malindi
