Moto amabao chanzo chake hakikujulikana hadi sasa umeteketeza mabanda ya mamalishe na mitumba karibu na kituo cha mabasi mkoani njombe
Hata hivyo kikosi cha zima moto mkoani hapo kimefanikiwa kuuzima moto huo usiku wa jana kuamkia leo ambapo polisi nao wamesema uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea
Kwa mujibu wa kikosi hicho mabanda mengine yamesalimika
Hata hivyo kikosi hicho kimewataka wananchi hao kuwa watulivu wakati huu wakisubiri matokeo ya uchaguzi ambayo yanatarajiwa kutangazwa wakati wowote mkoani humo
Hata hivyo kikosi cha zima moto mkoani hapo kimefanikiwa kuuzima moto huo usiku wa jana kuamkia leo ambapo polisi nao wamesema uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea
Kwa mujibu wa kikosi hicho mabanda mengine yamesalimika
Hata hivyo kikosi hicho kimewataka wananchi hao kuwa watulivu wakati huu wakisubiri matokeo ya uchaguzi ambayo yanatarajiwa kutangazwa wakati wowote mkoani humo
Tags
Kitaifa
