KIJANA AJITENGENEZEA SIMU BAADA YA MAMA YAKE KUMWAMBIA HANA HELA YA KUMNUNULIA SIMU

Admin
By -
0

Kijana mmoja nchini Canada ambae ana asili ya kisomali ajitengenezea simu yake binafsi

kijana huyo wa miaka 17 anaishi na mama yake nchini kanada amefanikiwa kujiundia simu ya smartphone ambayo ni nzuri

anasema alipata wazo la kuunda simu baada ya mama yake kumwambia kuwa hana pesa ya kununulia simu mpya

anasema ilimchukuwa muda mchache kuiunda simu hiyo ambayo haina utofauti na simu zingine ambazo zimesha undwa na watu kabla

amesema pia anatarajia kuziuza simu zake kwa bei raisi ya $180 tu na amekwisha pokea maombi ya kuuza simu zake sehemu tofauti ikiwemo afrika

kijana huyo amesema kitendo cha mama yake kutokuwa na pesa kununua simu mpya kwaajili yake kumempa mafanikio kimaisha

Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)