WANAJESHI WACHOMA MOTO KITUO CHA POLISI NAIJERIA

Admin
By -
0
Taarifa kutoka nchinj naijeria zinasema wanajeshi wamechoma moto kituo cha polisi

kwa mujibu wa mashuhuda kulitikea majibizano kati ya polisi na wanajeshi kwa madakika kadhaaba baadae wanajeshi wakaondoka

baada ya muda mchache wanajeshi wakarudi tena wakiwa na siraha wakakishambulia kituo na badae kukichoma moto ambapo katika tukio hilo polisi kadhaa waliuawa
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)