raisi afanya uteuzi huu leo

Admin
By -
0

mh raisi reo amefanya uteuzi wa viongozi katika vitengo tofauti ambapo amemchagua mj Godfrey mwambe kuwa mkurugenzi mtendaji kituo cha uwekezaji (TIC) ambae kabla alikuwa mkuu wa wilaya ya manyoni

pia kamteua Cliford tandari kuwa katibu tawala wa mkoa wa morogoro pia kala alikuwa mkurugenzi mtendaji wa kituo cha uwekezaji.(TIC)


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)