Nitakupeleka kwa rafiki yangu mmoja anaitwa Stanley ni raia wa DRC ana garage yake atakusaidia lazma utapata kazi wala usihofu Steve
Baada ya maongezi ya muda mrefu yule mtanzania akamwambia Steve twende mjini tukatembee pia na wewe uifahamu mitaa ya jiji la Johannesburg
Wakawasha gari aina ya Ford ranger wakaanza safari ya kuelekea mjini baada ya mwendo wa kama dakika kumi wakasimamishwa na polisi SAP "South Africa Police" na wakaambiwa washuke chini ili wakaguliwe
Kumbe polisi wa mji huwa wanamfahamu yule mtanzania kuwa ni muuzaji wa madawa ya kulevya baada ya kupekuliwa wakakutwa na gramu hamsini za cocaine kitu kilicho mshitua Steve na kujikuta ameingia katika majanga ambayo hakuyatarajia
Polisi wakawaambia waendeshe gari waende kituo cha polisi Steve akamuuliza yule mwenyeji wake kuwa "inakuwaje?" Yule mwenyeji akamjibu usiwaze kawaida hii tutaenda watatuachia
Walipofika kituo cha polisi yule mtanzania akaingizwa kwenye chumba na baada ya muda wa nusu saa akatoka na kukwambia Steve twende tuondoke
Wakiwa njiani akamuuliza imekuwaje tumeshikwa na unga na tumeachiwa? Akamjibu hawa ukiwapa pesa kidogo Mbona wanakuachia usiwaze ndiyo tunavyoishi huku
Moyoni Steve akaanza kujutia kumfahamu huyu mtu ambae alimpokea huku Afrika ya kusini lakini hakuwa na chakufanya kwakuwa hakuwa jinsi ikambidi avumilie...
INAENDELEA....
Baada ya maongezi ya muda mrefu yule mtanzania akamwambia Steve twende mjini tukatembee pia na wewe uifahamu mitaa ya jiji la Johannesburg
Wakawasha gari aina ya Ford ranger wakaanza safari ya kuelekea mjini baada ya mwendo wa kama dakika kumi wakasimamishwa na polisi SAP "South Africa Police" na wakaambiwa washuke chini ili wakaguliwe
Kumbe polisi wa mji huwa wanamfahamu yule mtanzania kuwa ni muuzaji wa madawa ya kulevya baada ya kupekuliwa wakakutwa na gramu hamsini za cocaine kitu kilicho mshitua Steve na kujikuta ameingia katika majanga ambayo hakuyatarajia
Polisi wakawaambia waendeshe gari waende kituo cha polisi Steve akamuuliza yule mwenyeji wake kuwa "inakuwaje?" Yule mwenyeji akamjibu usiwaze kawaida hii tutaenda watatuachia
Walipofika kituo cha polisi yule mtanzania akaingizwa kwenye chumba na baada ya muda wa nusu saa akatoka na kukwambia Steve twende tuondoke
Wakiwa njiani akamuuliza imekuwaje tumeshikwa na unga na tumeachiwa? Akamjibu hawa ukiwapa pesa kidogo Mbona wanakuachia usiwaze ndiyo tunavyoishi huku
Moyoni Steve akaanza kujutia kumfahamu huyu mtu ambae alimpokea huku Afrika ya kusini lakini hakuwa na chakufanya kwakuwa hakuwa jinsi ikambidi avumilie...
INAENDELEA....
Mtazame hapa Mtoto mwenye kipaji cha ajabu