CHADEMA WATOA MAELEZO KUHUSU TAARIFA YA MNYIKA KUHAMIA CCM

Kuna Taarifa zinasambazwa mitandaoni ya kuwa Mhe. John Mnyika, Mbunge wa Kibamba amejivua uanachama wa CHADEMA. Taarifa hizo ni za uongo na hazina ukweli wowote, ni za kupuuzwa, wanaozisambaza ni wale walioishiwa hoja na majibu juu ya hali ya maisha ya Watanzania.

Post a Comment

Previous Post Next Post