RAIS MUGABE AMFUKUZA KAZI MAKAMU WA RAISI

Makamu wa raia nchini Zimabawe Emmerson Mnangagwa amefutwa kazi, kwa mujbu wa wizara ya habari nchini humo.
Bw. Mnangagwa, 75, alionyesha tabia za kukosa uzalendo, waziri Simon Kahaya Moyo alisema.

Kufutwa kwake ni ishara kuwa mke wa rais Robert Muabe, Grace, atafuata nyayo za mumeme za kuwa rais wa Zimbabwe

Mapema Grace alitoa wito wa kutaka mumewe amfute kazi Mnangawa.



Post a Comment

Previous Post Next Post