Magari mawili yamegongana uso kwa uso katika barabara ya Morogoro Iringa maeneo ya Sangasanga na kusababisha vifo vya watu 4 na wengine majeruhi.
Kamanda wa Zimamoto wa Mkoa wa Morogoro amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na zoezi la kuwanasua majeruhi linaendelea
Kamanda wa Zimamoto wa Mkoa wa Morogoro amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na zoezi la kuwanasua majeruhi linaendelea
Tags
Ajali