MVUA ZALETA MADHARA MAKUBWA DAR, WANNE WAFA

Nyumba ambayo imeporomoka
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo ya mikoa ya pwani imesababisha mafuriko, huku watu wana wakipoteza maisha, 
Nyumba zimebomoka huku bara bara bara zikufurika maji na kubabisha usumbufu mkubwa kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam, lenye shughuli nyingi za kibiashara 
Katika eneo la Mji Mpya, Kawe, nyumba zimebomoka na baadhi ya maeneo hayapitiki.
Taarifa zinasema kuwa  nyumba zaidi ya 20 zimeharibiwa vibaya na mafuriko, huku mamlaka za kusalama zikisema  watu wanne wamefarik kwa  maji.
Zifuatazo ni picha mbalimbali zinazonesha uharibifu maeneo ya jiji la Dar es Salaam


Mtoni
Nyumba ambayo imeporomoka

Uharibifu

Post a Comment

Previous Post Next Post