Mkazi wa jijini dar es salaam Robert masawe miaka 51 ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi wenzake
mtuhumiwa huyo alikamatwa na simu za wizi 19 na laini za simu 58 ambazo zote ni zawizi ambazo alizipola
baada ya uchunguzi ikabainika miongoni mwa simu hizo zingine ziliibiwa mkoani kilimanjaro wilayani moshi
pia baada ya kuhojiwa zaidi akakili kuficha bunduki aina ya SMG ambayo alikubali kwenda kuionesha alipo ificha
akiwa chini ya ulinzi aliambatana na askari mpaka moshi kwenye dampo lililpo nje ya kiwanda cha ngozi
baada ya kufika hapo aliwaona wenzake ndipo akaanza kupiga kerele baada ya kupiga kelele wenzake wakaanza kurusha risasi ambazo zilimkuta mwilini na kumsababishia kupoteza maisha
kwa mujibu wa maelezo marehemu alisha wai kufungwa kwakosa la ujambazi lakini alikata rufaa na hatimae akaachiwa kabla ya kufariki
mtuhumiwa huyo alikamatwa na simu za wizi 19 na laini za simu 58 ambazo zote ni zawizi ambazo alizipola
baada ya uchunguzi ikabainika miongoni mwa simu hizo zingine ziliibiwa mkoani kilimanjaro wilayani moshi
pia baada ya kuhojiwa zaidi akakili kuficha bunduki aina ya SMG ambayo alikubali kwenda kuionesha alipo ificha
akiwa chini ya ulinzi aliambatana na askari mpaka moshi kwenye dampo lililpo nje ya kiwanda cha ngozi
baada ya kufika hapo aliwaona wenzake ndipo akaanza kupiga kerele baada ya kupiga kelele wenzake wakaanza kurusha risasi ambazo zilimkuta mwilini na kumsababishia kupoteza maisha
kwa mujibu wa maelezo marehemu alisha wai kufungwa kwakosa la ujambazi lakini alikata rufaa na hatimae akaachiwa kabla ya kufariki
Tags
Kitaifa