MPANGO WA KUMPELEKA TUNDU LISSU MAREKANI WAGONGA MWAMBA

Kupitia ukurasa wake wa instagram mbunge wa singida mjini razalo nyarandu.amesema mpango wa kumpeleka lissu marekani wagonga mwamba

nyarandu ambae yupo nchini kenya kufuatilia afya ya mbunge mwenzake amesema walipenda kumsafilisha lakini imeshindikana

madaktari wamesema.hawawezi kumruhusu mgonjwa kupelekwa marekani ni kutokana na hali aliyokuwa nayo kwa sasa

pia madaktari wamesema labda siku zijazo endapo kutakuwa na ulazima lakini sasa haiwezekani kwakuwa afya yake hailuhusu kusafiri kwa muda mrefu

Post a Comment

Previous Post Next Post