WATU 24 WAMEUAWA NCHINI KENYA



Ripoti ya shilika la Human light whatch imesema mpaka sasa watu 24 wamefariki nchini kenya kufuatia vurugu za uchaguzi

shilika hilo limesema watu 24.wamefariki huku wengi wao wakiwa wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi wakati wa ghasia

baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uraisi umoja wa upinzani NASA ulikataa kuyatambua matokeo hayo wakisema ni fake kenyatta ameiba kura zao

pia NASA wamesema wanataka kufungua kesi mahakamani lakini raisi kenyatta kaanza kuwatisha majaji ili waogope

upinzani unasema mitambo ilidukuliwa na Kenyatta ndyo maana imetoa matokeo ambayo ni ya uongo


Post a Comment

Previous Post Next Post