WALIO FARIKI CHINA WAFIKIA 15

Admin
By -
0

Mpaka sasa watu 15 wamekutwa wamesha poteza maisha baada ya mapolomoko nchini china

kwa mujibu wa ripoti mpaka sasa zaidi ya watu 100 hawajulikani walipo baada ya maporomoko hayo kutokea katika kijiji cha xin-mo nchini china

mapolomoko hayo yametokea baada ya eneo linalotembelewa na watarii wengi kupatwa na polomoko la udongo ambapo watu zaidi ya 50 wanahofiwa kupoteza maisha

mpaka sasa jitihada za uokoaji zinaendelea kwa kutumia mmbwa na vifaa vingine ili kugundua baadhi ya miili iliyo nasa katika mapolomoko hayo

nchini chini si mara ya kwanza kutokea mapolomoko ambapo mara nyingi huwa kunatokea mapolomoko hasa kwenye milima kama ambavyo imetokea sasa


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)