NCHEMBA:SHULE ITAKAYO MRUDISHA SHULE ALIYEPATA UJAUZITO KUADHIBIWA

Admin
By -
0

Waziri wa mambo ya ndani mh mwigulu nchemba asema watakao mpinga  raisi kuhusu wanafunzi wajawazito wataadhibiwa

waziri amesema kauli ya raisi ni kauli ya serikali na shule itakayo kaidi agizo hilo itafutiwa usajili kwa kuwa itakuwa imevunja sheria

mh.raisi alisema mwanafunzi atakae pata ujauzito shuleni hatorudishwa shuleni ili iwe fundisho kwa mabinti wengine maana wakirudishwa shule hawataogopa kupata ujauzito

kauli hii imewaacha watanzania wengi njia panda huku ilani ya chama cha mapinduzi  ikisema mwanafunzi akipata ujauzito baada ya kujifungua watarudi shule hatua iliyopingwa na raisi


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)