MALINZI NA MWENZAKE WAKAMATWA

Rais wa TFF na mwenzake wakamatwa na polisi

kwa mujibu wa taarifa wawili.hao wamekamatwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU

kwa mujibu wa afisa habari wa TAKUKURU  Mussa misalaba wawili hao wamekamatwa na wanashikiliwa katika kutuo cha polisi cha salenda bridge mpaka uchunguzi utakapo.kamilika


Post a Comment

Previous Post Next Post