mgeja amwonya polepole

mwenyekiti wa tanzania mzalendo foundation mh khamis mgeja amwonya polepole

akiongea na waandishi wa habari mjini morogoro amesema kuwa polepole amekuwa akitumia matukio ya kibiti kisiasa kujinufaisha

mgeja amesema polepole amekuwa akitumia matukio hayo kufanya kma chama chao kunaandamwa ili kuwatia huruma wananchi

pia amesema anatumia luhga yakuchonganisha vyama vya siasa vionekane kma vina fanya matukio hayo ambayo kila mtanzania haya mpendezi

amesema kila mtanzania anaumia kuusu kibiti sasa yeye asifanye au asiongee kujinufaisha kisiasa kwakuwa matukio hayana mahusiano na siasa

Post a Comment

Previous Post Next Post