manchester bingwa EUROPA

timu ya manchester ya uingereza yafanikiwa kuwa bingwa wa EUROPA league baada ya kuofunga ajax jumla ya magoli mawili kwa bila

magori ya manchester yamefungwa na paul pogba na gori la pili limefungwa na micktlyan



kutokana na ushindi huo manchester wanakuwa wamepata.nafasi ya kucheza UEFA kama mshindi wa EUROPA japo kuwa kwenye ligi ni ya sita

Post a Comment

Previous Post Next Post