ccm imesema kutokana na kukithiri kwa mauaji mkoani pwani viongozi wa ulinzi wanaitajika kujitasimini
hayo yalisemwa na mh humphrey polepole alipokuwa akiongea na waandishi wa habari
alisema kwa muda mrefu mauaji yanaendelea na hakuna matokeo yoyote yaliyo onekana katika kudhibiti swala hilo ivyo basi viongozi wajitasimini
pia ccm imesema endapo mauaji yataendelea watawashitaki kwa serikali maana watakuwa wameshindwa kusimamia wajibu wao
hayo yalisemwa na mh humphrey polepole alipokuwa akiongea na waandishi wa habari
alisema kwa muda mrefu mauaji yanaendelea na hakuna matokeo yoyote yaliyo onekana katika kudhibiti swala hilo ivyo basi viongozi wajitasimini
pia ccm imesema endapo mauaji yataendelea watawashitaki kwa serikali maana watakuwa wameshindwa kusimamia wajibu wao
Tags
Kitaifa
