mwanamke mmoja aliye tambuliwa kwa jina la asha rais amekutwa amefariki gest mjini singea
akiongea na.waandishi kamanda wa polisi amesema mwana mke huyo alikuwa akisafili kutoka mtwara kuja songea akachukua chumba salama gesti maeneo ya mfaranyaki alipo ingia ndani akawa ameingia jumla
muhudumu wa gest amesema mama huyo alikuja akiwa amechoka saana akapewa chumba lakini hakutoka tena
ndipo walipo enda kumgongeshea mlango hakawa hafungui ndipo wakaita polisi ambao walivunja mlango na kumkuta amefariki huku akiwa hana jeraha lolote
akiongea na.waandishi kamanda wa polisi amesema mwana mke huyo alikuwa akisafili kutoka mtwara kuja songea akachukua chumba salama gesti maeneo ya mfaranyaki alipo ingia ndani akawa ameingia jumla
muhudumu wa gest amesema mama huyo alikuja akiwa amechoka saana akapewa chumba lakini hakutoka tena
ndipo walipo enda kumgongeshea mlango hakawa hafungui ndipo wakaita polisi ambao walivunja mlango na kumkuta amefariki huku akiwa hana jeraha lolote
Tags
Kitaifa
