Haikuwa jambo la ajabu wala la kushtukiza sana pale Cristiano Ronaldo usiku wa jana alipotangazwa kubeba tuzo yake ya 5 ya Ballon D Or, na sasa Cr7 anakuwa idadi sawa ya tuzo hiyo na Lioneil Messi. Lakini katika tuzo hizo ilitolewa orodha ya wanasoka bora zaidi duniani.
2. Lioneil Messi, baada ya Cr7 wa pili yake ni lazima atakuwa mpinzani wake mkubwa na japokuwa Messi hakuwa na mafanikio maklubwa sana msimu uliopita lakini yuko nafasi ya pili.
3. Neymar. Anatabiriwa kuwa anakuja kuchukua nafasi ya Cr7 katika tuzo zijazo na alikuwepo kwenye tatu bora ya tuzo hizi nyuma ya Cr7 na Messi.
4. Gianluigi Buffon, msimu uliopita wa ligi aliipeleka Juve katika fainali ya michuano ya Champions League na pia akiwapa kombe la Serie A.
5. Luca Modrick. Linaweza kuwa jina lililowashtua wengi lakini mchango wake ndani ya Los Blancos ulichangia sana mafanikio waliyoyapata msimu uliopita.
6. Sergio Ramos. Nahodha wa Real Madrid ambaye mara zote anaonekana kuibeba Madrid rohoni na begani na hii inampa nafasi kuwepo katika orodha hii.
7.Kylian Mbappe, kabla ya kujiunga na PSG alikuwa na msimu mzuri sana ndani ya Monaco msimu uliopita na kuifanya Monaco kuwa kati ya vilabu tishio sana katika bara la Ulaya.
8.Ngolo Kante. Kabla ya kuwapa ubingwa Chelsea alitoka kuwapa ubingwa Leicester City na kwa wakati wote huo hadi sasa ameonekana kiungo imara sana jambo ambalo linawafanya ballon d or kumuweka katika kikosi chao.
9.Roberto Lewandoski. Mchezaji pekee kutoka Bundesliga katika 10 bora ya ballon dor, amekuwa mzuri sana katika kucheka na nyavu na alikuwa mhimili mkubwa wakati Byern wakibeba kombe la Ujerumani.
10.Harry Kane. Hakuna ubishi juu ya Muingereza huyu na kwa sasa huwezi taja majina matatu ya washambuliaji wanaoogopwa ukaacha jina lake, uwezo mkubwa anaouonesha ndani ya Tottenham umemuweka hapa.
11. Edison Cvanni.
12.Isco
13.Luis Suarez
14.Kelvin De Bruyne
15.Paulo Dyabala
16.Marcelo
17.Toni Kroos
18.Antonio Griezman
19.Eden Hazard
20.David De Gea
21.Pierre Aubayemang
22.Leornado Bonucci
23.Sadio Mane
24.Radamel Falcao
25.Karim Benzema
26.Jan Oblak
27.Mats Hummels
28.Edin Dzeko
29.Dries Mertens
30.Phellipe Coutinho
2. Lioneil Messi, baada ya Cr7 wa pili yake ni lazima atakuwa mpinzani wake mkubwa na japokuwa Messi hakuwa na mafanikio maklubwa sana msimu uliopita lakini yuko nafasi ya pili.
3. Neymar. Anatabiriwa kuwa anakuja kuchukua nafasi ya Cr7 katika tuzo zijazo na alikuwepo kwenye tatu bora ya tuzo hizi nyuma ya Cr7 na Messi.
4. Gianluigi Buffon, msimu uliopita wa ligi aliipeleka Juve katika fainali ya michuano ya Champions League na pia akiwapa kombe la Serie A.
5. Luca Modrick. Linaweza kuwa jina lililowashtua wengi lakini mchango wake ndani ya Los Blancos ulichangia sana mafanikio waliyoyapata msimu uliopita.
6. Sergio Ramos. Nahodha wa Real Madrid ambaye mara zote anaonekana kuibeba Madrid rohoni na begani na hii inampa nafasi kuwepo katika orodha hii.
7.Kylian Mbappe, kabla ya kujiunga na PSG alikuwa na msimu mzuri sana ndani ya Monaco msimu uliopita na kuifanya Monaco kuwa kati ya vilabu tishio sana katika bara la Ulaya.
8.Ngolo Kante. Kabla ya kuwapa ubingwa Chelsea alitoka kuwapa ubingwa Leicester City na kwa wakati wote huo hadi sasa ameonekana kiungo imara sana jambo ambalo linawafanya ballon d or kumuweka katika kikosi chao.
9.Roberto Lewandoski. Mchezaji pekee kutoka Bundesliga katika 10 bora ya ballon dor, amekuwa mzuri sana katika kucheka na nyavu na alikuwa mhimili mkubwa wakati Byern wakibeba kombe la Ujerumani.
10.Harry Kane. Hakuna ubishi juu ya Muingereza huyu na kwa sasa huwezi taja majina matatu ya washambuliaji wanaoogopwa ukaacha jina lake, uwezo mkubwa anaouonesha ndani ya Tottenham umemuweka hapa.
11. Edison Cvanni.
12.Isco
13.Luis Suarez
14.Kelvin De Bruyne
15.Paulo Dyabala
16.Marcelo
17.Toni Kroos
18.Antonio Griezman
19.Eden Hazard
20.David De Gea
21.Pierre Aubayemang
22.Leornado Bonucci
23.Sadio Mane
24.Radamel Falcao
25.Karim Benzema
26.Jan Oblak
27.Mats Hummels
28.Edin Dzeko
29.Dries Mertens
30.Phellipe Coutinho
Tags
Michezo