![]()  | 
| CIA,Bill Oxley | 
Jasusi wa zamani wa Shirika la Kijasusi la Marekani (CAI)Bill Oxley, amekiri kuumuama Gwija wa Mziki wa Reggae Duniani Hayati Robert Nesta Marley " Bob Marley".
Mzee  huyo  mwenye Umri wa miaka 79 na  ambaye amelitumikia Shirika hilo la Kijasusi la Marekani kwa miaka 29, ametoa kauli hiyo akiwa kitandani hospitali akisubiri siku zake za mauti.
Kati ya mwaka 1974 na 1985 mzee Bill amekiri kufanya mauaji ya watu 17 huku mmoja wapo akiwa mfalme wa Reggae duniani Bob Marley ambaye alifariki mwaka 1981. Na alifanya hivyo kwa agizo la wakuu wa shirika hilo.
| Hayati Bob Marley | 
Mbinu alizokuwa akitumia kufanya mauaji hayo ni Sumu, Milipuko na njia nyingine ni kuwachoma sindano za kusabisha Saratani 'Cancer' na magonjwa ya moyo.
Wahusika waliokuwa wamelengwa sana ni Wanaharakati, Waandishi wa habari, Wanasiasa na Waimbaji ambao walikuwa tishio kwa serikali ya Marekani
Tags
Kimataifa
