Header Ads Widget

DIAMOND ASHINDA TUZO NYINGINE NIGERIA

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na Muandaaji wa muziki, Tudd Thomas wote kutoka Tanzania wameshinda tuzo za African Entertainment Legends Awards (AELA) jana Desemba 3, 2017 jijini Lagos, nchini Nigeria.



Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya kolabo bora ya mwaka 2017 kupitia wimbo wake wa FIRE aliomshirikisha msanii kutoka Nigeria Tiwa Savage huku producer Tuddy Thomas akinyakua tuzo ya Muandaaji bora wa muziki kwa mwaka 2017 barani Afrika.

Wengine walioshinda tuzo hizo ni Davido kupitia wimbo wake wa Coolest Kid in Afrika kwenye kipengele cha ‘Best Music Video of the Year’, RunTown, Black Coffee na wengine wengi.

Tazama orodha kamili ya washindi wa Tuzo hizo za (African Entertainment Legends Awards 2017) .

HERE IS THE OFFICIAL AELA AWARDS 2017 WINNERS LIST:

1. AFRICAN BEST MUSIC PRODUCER:
Tudd Thomas
2. AFRICAN DJ OF THE YEAR:
Dj Black Cofee
3. AFRICAN GOSPEL SONG OF THE YEAR:
Frank Edwards- Miracle Rain
4. FAST RISING ARTIST:
Mayorkun
5. BEST COLLABORATION [AFRICA]:
Diamond Platnumz x Tiwa Savage – Fire
6. DANCEHALL ACT OF THE YEAR:
Stonebwoy
7. AELA HIT SONG OF THE YEAR:
Runtown – Mad over you
8. BEST MUSIC VIDEO OF THE YEAR:
Davido (Coolest kid in Africa )
9. AFRICAN BEST FILM DIRECTOR
Toka McBaror (Lotanna The movie)
10. BEST ACT IN A COMEDY MOVIE:
Beverly Osu (Rosemary )
11. MOVIE PRODUCER OF THE YEAR
Iyabo Ojo
12. AFRICAN BEST CINEMAS FILM
Wedding Party
13. BEST ACTOR OF THE YEAR
Eddie Watson
14. BEST ACTRESS OF THE YEAR
Toyin Abraham
15. FAST RISING ACTRESS OF THE YEAR
Xandykamel
16. FAST RISING ACTOR OF THE YEAR.
Blossom chukwujekwu
17. BEST RED CARPET DRESS & PERSONALITY OF THE YEAR
Rukky Sanda
18. COMEDIAN OF THE YEAR
Kenny Blaq
19. FASHION DESIGNER OF THE YEAR
Toyin Lawani
20. ENTERTAINMENT TV STATION OF THE YEAR
Joy Prime
21. ENTERTAINMENT RADIO STATION OF THE YEAR
Brilla 88.9 FM
22. BEST MODEL OF THE YEAR
Ian Wordi
23. EMERGING MODEL OF THE YEAR
Ben Breaker
24. SOCIAL MEDIA INFLUENCER OF THE YEAR.

CHANZO>>>JUSTPROMITERS

Post a Comment

0 Comments