"WAPE TUZO HAWA VIJINA WALIOGUNDUA MAFUTA"- RAIS MAGUFULI



Image result for picha za rais maguli na museveni


Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt John PombeMagufuliamemuomba Rais wa Uganda kuwapa tuzo wasomi wote waliogudua uweko wa mafuta nchini humo.

Dkt Mgafuli ametoa wito huo leo Alhamisi Novemba 9 katika 
eneo la Mtukula wakati kihutubia mimia ya wakazi wa eneo hilo wakati wanashiriki tukio la kuwekwa jiwe la msingi la ujenzi wa mafuta ghafi kutoka nchini Uganda mapaka Bandari ya Tanga nchini Tanzania.

Amesema kuwa kuwatoa tuzo kwa watu waliofanya jambo jema ni kuonesha kumkukumbu yao,

“Mheshimiwa Rais Mseveni sisi kwetu (Tanzania ) huwa tunatoa tuzo kwa sanasiasa waliofanya mema (zile kamati ziliozohusika na utafiti wa mchanga wa makininia na ile kamati iliosimamia mazungumzo na Kampuni ya Barrick Corp.) hivyo nakuomba uwape hawa vijina waliogudua mafuta kama kumbukumbu kwao”. Alisema Dkt Magufuli.

Rais Magufuli wamewapongeza vijna hao kwa kwa kuonesha  kutumia elimu yao vizuri kwa manufaa ya taifa lao.
“Vijna hawa uliwapeleka nje ya nchi kusoma na wakapata elimu, sasa wameonesha uzalendo kwa ugundu huu wa mafuta amboa haujawahi kugunduliwa tangu kuumbwa kwa Uganda”.  Amesesisitiza Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amemshukuru Rais Mseveni kwa maamzi ya kupitisha mradi huo wa bomba la mafuta nchini Tanzania huku akimhakikishia kuwa Tanzania iko Salama  hivyo bomba hilo litakuwa salama wakati wote.

Kwa upande wake Rais wa Uganda Yoweri Mseveni amesema kuwa  maradi huo utanufaishi nchi hizi mbli na kuwataka wananchi kuchangamkia fursa hiyo ili kujipatia kipato na kuinua maisha hayo.

Post a Comment

Previous Post Next Post