MWANAZUONI WA KIDUNIA KUTOKA YEMEN AJA KUIOMBEA AMANI TANZANIA



Baraza kuu la kiislam Nchini  (BAKWATA) leo limempokea Mwanazuoni wa Kiislam Mkubwa wa kidunia Abib Omar Bin Hatith kuto inchin Yemen kwa ziara ya Siku mbili

Akizungumzia ujio wa mwanazuoni huyo, Mufti Mkuu wa Tanzania sheikh Abubakary Zubery amesema kuwa amekuja pamoja na mambo mengine ataombea nchi yetu iwe na amani na upendo
 " Mwanazuoni huyo tulimwomba aje kwa zaidi ya miaka miwili na tunashukuru amekubali ombi letu amekuja sasa tuko tayari kupokea aliyotuletea"' Amesema Sheik Abubakary.

 Rais Mstaafu Alhaji Hassan Mwinyi amesema kuwa ujio wa Mwanazuon huyo ni ishara kuwa nchi yetu ina amani na upendo maana anahitajiwa na nchi nyingi.


Image result for Abib Omar bin Hatith
Mwanazuoni- Abib Omar bin Hatith

Imam wa Mskiti wa Shibu ulioko Mobasa  nchini Kenya amesema kwa wako tayari kupokea yale atakayowapa
 "Sisi tumejiandaa kupokea yale aliotupa mwanazuoni huyu wa kidunia.

Post a Comment

Previous Post Next Post