Mbunge wa jimbo la songea mjini kwa tiketi ya CCM Mh Gama afariki dunia katika hospitali ya mission ya PERAMIHO iliyopo mkoani Ruvuma usiku wa saa saba kuamkia leo
SWAHIBA BLOG inafuatilia zaidi taarifa tutaleta baada ya muda mchache..
Post a Comment
0Comments
3/related/default