BREAKING NEWS: DAVID KAFULILA AJIVUA UANACHAMA CHADEMA
By -nijuzenews
November 22, 2017
0
iMbunge wa zamani wa Kigoma Kusini (2010-2015), David Kafulila amejivua uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa madai ya kutokuwa na imani tena na upinzani katika kupambana na ufisadi.