Mkurugenzi wa fedha wa kampuni ya ACACIA amesema kampuni yao haina pesa dolla milioni 300 kulipa kwa serikali ya Tanzania
hatua hii imekuja baada ya jana kuwepo kwa taarifa ya kutiana saini ya makubaliano ya malipo ya asilimia hamsini kwa hamsini
katika makubaliano hayo kampuni hiyo ya madini ilikubali kutoa pesa shilingi bilioni 700 kitu ambacho mkurugenzi wa ACACIA amesema hawana pesa
hatua hii imekuja baada ya jana kuwepo kwa taarifa ya kutiana saini ya makubaliano ya malipo ya asilimia hamsini kwa hamsini
katika makubaliano hayo kampuni hiyo ya madini ilikubali kutoa pesa shilingi bilioni 700 kitu ambacho mkurugenzi wa ACACIA amesema hawana pesa
Tags
Kitaifa