Emanueli mbasha ambae alikuwa mume wa mwanamuziki wa injili madaam frola afunguka kuhusu mahusiano yake mapya
akiongea na EATV mbasha amesema kwa sasa yupo single na hana mahusiano na mwanamke yoyote
kuhusu kuoa amesema haja fikia na hawezi kuoa kwaajili ya kumuumiza mtu
akiongea na EATV mbasha amesema kwa sasa yupo single na hana mahusiano na mwanamke yoyote
kuhusu kuoa amesema haja fikia na hawezi kuoa kwaajili ya kumuumiza mtu
Tags
burudani