TANZIA : Diwani aliyekuwa akigombea udiwani kwa tiketi ya ccm Hamadi mnyingi Afariki dunia

Diwani aliyekuwa akigombea udiwani kwa tiketi ya ccm mkoani morogoro wilaya ya mvomero amefariki jana jijini dar es salaam alipokuwa kimatibabu

Mwili wake umewasili leo mvomero kijiji cha makuyu kwaajili ya maziko hapo kesho

sisi sote ni wa mola na kwake tutarejea

Post a Comment

Previous Post Next Post