BREAKING NEWS : HALI NI TETE HUKO TUNDUMA CHADEMA NA CCM WAWILI WAUAWA CHEKI HAPA

Hali ni tete huko Tunduma wawili wauawa baada ya kutokea vurugu mmoja kutoka chadema na mmoja Ccm vijana wa ccm waliweka mawe ili kuzuia msafara wa chadema ndipo vijana wa chadema walipofika wakashuka ili kuondoa mawe hayo akatokea kijana mmoja wa ccm na kumchima kisu kijana mmoja wa chadema ndipo vijana wachadema wakamvaa na kumpiga hadi kufa

chanzo Muungwana blog

Post a Comment

Previous Post Next Post