kocha wa arsenal amefanya mazungumzo na mmiliki wa arsenal kuhusiana na mkataba wake
mkataba wa kocha huyo unafikia kikomo msimu huu kwaiyo wanafanya mazungumzo kujua wanafanyaje
kocha huyo amekaa klabuni hapo kwa miaka 21 anakumbwa na wakati mgumu kutoka kwa mashabiki ambao wanamtaka aondoke katika timu hiyo
mbaya zaidi baada ya miaka nane arsensl imeshindwa kupata nafasi ya kucheza klabu bngwa hali inayo umiza saana mashabiki wa arsenal kiasi cha kumbebea mabango kudai.aondoke klabuni hapo
mkataba wa kocha huyo unafikia kikomo msimu huu kwaiyo wanafanya mazungumzo kujua wanafanyaje
kocha huyo amekaa klabuni hapo kwa miaka 21 anakumbwa na wakati mgumu kutoka kwa mashabiki ambao wanamtaka aondoke katika timu hiyo
mbaya zaidi baada ya miaka nane arsensl imeshindwa kupata nafasi ya kucheza klabu bngwa hali inayo umiza saana mashabiki wa arsenal kiasi cha kumbebea mabango kudai.aondoke klabuni hapo