papa aingia kwenye boti na kumjerui mvuvi

Admin
By -
0

nchini australia mvuvi amesimulia jinsi papa alivyo ruka na kuingia kwenye boti

mvuvi huyo trey selwood miaka 73 alikuwa baharini akivua samaki ghafla papa huyo akaruka na kuingia ndani ya boti

anasema papa huyo mwenye kilo miambili alimjerui na kumtoa damu nyingi saana

baada ya papa kuingia alimzidi nguvu ndipo alipo piga kelele na watu walio kuwa karibu wakaja kumwokoa

akiongea na shilika la habari la ABC.mvuvi huyo anasema miaka yote aliyo fanya uvuvi hakuwai kukutana na tukio kama hilo tukio hili ni la kwanza kwake
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)