Man city mbioni kumsajili kipa wa benifica

Admin
By -
0
menaja wa man city pep guardiola yupo njiani kumsajili mlinda mlango wa benifica ya ureno

mlinda mlango huyo edsoni maraes.yupo tayali kujiunga na city kwa dau la paund milion 33 akitokea kwa mabingwa hao wa ligi kuu ureno

pia katika kujiimalisha city inaitaji kumsajiri beki wa kati  benjamini mendy ambae anaichezea timu ya taifa ya ufaransa

pia apo ijumaa man city ilimsajili mchezaji mwingine bernado silva kwa kiasi cha paund million 43

kocha huyo wa man city amesema amezamilia kuchuukuwa ubingwa msimu ujao baada ya kuukosa mwaka huu
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)