alshaabab waua kwa mawe mtu.mmoja mzinifu

Admin
By -
0
nchini somaria mtu mmoja alikutwa na hatia ya uzinifu na mahakama moja ya kiislam nchini humo

baada ya kukutwa na hatia hiyo wanamgambo wa alshaababu waliongoza azabu ya kumshambulia na mawe mpaka kufa

mwanaume huyo dayon muhamad miak 44 alikutwa na kosa la kumpa mimba mwanamke ambae hakumuoa huku yeye akiwa na wake wawili wa ndoa

adhabu kama hizi nchini somaria ni zakila mara watu huadhibiwa wakikutwa na makosa ya udhinifu

mwaka 2014 kijana mmoja alipigwa na mawe mpaka kufa baada ya kukutwa na kosa la ubakaji

mara nyingi mahakama nchini somaria uhukumu kifo kwa wazinifu mara wanapo kutwa na hatia
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)