yanga yawaumiza simba

baada ya timu ya yanga kuifunga timu ya toto ya mwanza matokeo hayo yamekuwa msiba na maumivu kwa maasimu wao simba

simba ilikuwa ikiiombea kufungwa yanga ili mambo yawe safi kwao matokeo yake yanga imeshinda gori moja kwa bila na kuukaribia ubingwa wa VPL

simba ilikuwa inaimba matokeo mabovu kwa yanga ili wajiakikishie ubingwa baada ya kuukosa kwa muda mrefu

simba ambayo juzi juzi imepata mzamini mpya ambae ni kampuni ya sportpesa kutoka kenya walikuwa wanaomba toto ishinde kwa udi na uvumba lakini yanga kachomoza na ushindi


Post a Comment

Previous Post Next Post