tanzania yapata tena msaada kutoka marekani

serikali ya marekani yaipatia tanzania dola milion 552 kwaajiri ya kusaidia kupambana na ukimwi

hatua hiyo imekuja mda mchache baada ya kusitisha msaada kwa serikali ya kenya hivi majuzi

pesa hizo zta wasaidia wajane,wenye virusi na kusaidia mashilika yanayo pambana na maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini tanzania


Post a Comment

Previous Post Next Post