nchi za carebian ndizo zinazo ongoza kwa uharifu duniani

katika uchunguzi ulio fanywa umebaini kuwa nchi za karebian huongoza kwa uharifu duniani

utafiti huo umebaini visa vya mauaji katika nchi hizo ni vikibwa huku watu wengi wakiwa wamepoteza ndugu zao kutokana na uharifu

nchi hizo ambazo kimaendereo zipo chini lakini kimatukio ya uharifu zinaongoza ikiwemo jamaika pia


Post a Comment

Previous Post Next Post