jeshi la polisi lakanusha vyeti fake

jeshi la polisi lakanusha uvumi uliopo mitaani unao wahusisha askari wake na vyeti bandia

msemaji wa polisi amekanusha na amesema wanamtafuta anae eneza taarifa hizo za uwongo

pia polisi imesema ikimbaini anae toa taarifa hizo atakabiriwa na adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine


Post a Comment

Previous Post Next Post